Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Yoshua 17:16
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 16 Kisha wazao wa Yosefu wakasema: “Eneo lenye milima halitutoshi, na Wakanaani wote wanaokaa bondeni,* yaani, wale wanaokaa Beth-sheani+ na miji yake na wale wanaokaa katika Bonde la* Yezreeli,+ wana magari ya vita+ yenye miundu ya chuma.”*

  • Waamuzi 6:33
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 33 Wamidiani wote+ na Waamaleki+ na watu wa Mashariki wakaungana;+ wakavuka* na kupiga kambi katika Bonde la* Yezreeli.

  • 1 Wafalme 21:1
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 21 Baada ya hayo, jambo fulani lilitendeka kuhusiana na shamba la mizabibu la Nabothi Myezreeli; lilikuwa Yezreeli,+ kando ya jumba la Mfalme Ahabu, mfalme wa Samaria.

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki