Waamuzi 6:3 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 3 Waisraeli walipopanda mbegu, Wamidiani, Waamaleki,+ na watu wa Mashariki+ waliwashambulia. Waamuzi 7:12 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 12 Wamidiani na Waamaleki na watu wote wa Mashariki+ walikuwa wamejaa bondeni nao walikuwa wengi kama nzige, na ngamia wao hawangeweza kuhesabiwa,+ walikuwa wengi kama chembe za mchanga kwenye ufuo wa bahari.
12 Wamidiani na Waamaleki na watu wote wa Mashariki+ walikuwa wamejaa bondeni nao walikuwa wengi kama nzige, na ngamia wao hawangeweza kuhesabiwa,+ walikuwa wengi kama chembe za mchanga kwenye ufuo wa bahari.