Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • 1 Wafalme 21:1
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 21 Na ikawa kwamba baada ya mambo hayo palikuwa na shamba la mizabibu la Nabothi Myezreeli, lililokuwa kule Yezreeli,+ kando ya jumba la mfalme Ahabu, mfalme wa Samaria.

  • 1 Wafalme 21:15
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 15 Na ikawa kwamba mara tu Yezebeli aliposikia kwamba Nabothi amepigwa kwa mawe akafa, mara moja Yezebeli akamwambia Ahabu: “Ondoka, miliki shamba la mizabibu la Nabothi, Myezreeli,+ ambalo alikataa kukupa kwa pesa; kwa maana Nabothi hayuko hai tena, bali amekufa.”

  • 1 Wafalme 21:19
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 19 Nawe unapaswa kumwambia, ukisema, ‘Yehova amesema hivi: “Je, umeua+ na pia ukamiliki?”’+ Nawe unapaswa kumwambia, ukisema, ‘Yehova amesema hivi: “Mahali+ ambapo mbwa waliiramba damu ya Nabothi, mbwa watairamba damu yako, ndiyo, damu yako.”’”+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki