Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Yoshua 19:18
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 18 Na mpaka wao ukafika hadi Yezreeli+ na Kesulothi na Shunemu,+

  • 1 Wafalme 18:45
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 45 Na ikawa kwamba wakati huo mbingu zikatiwa giza kwa mawingu na upepo+ na mvua kubwa sana ikaanza kunyesha.+ Na Ahabu akaendelea kupanda gari, akaenda zake Yezreeli.+

  • Hosea 2:22
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 22 dunia nayo itaijibu nafaka+ na divai tamu na mafuta; vitu hivyo navyo vitajibu Yezreeli [‘Mungu atapanda mbegu’].+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki