Yoshua 19:18 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 18 Na mpaka wao ukafika hadi Yezreeli+ na Kesulothi na Shunemu,+ 1 Wafalme 18:45 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 45 Na ikawa kwamba wakati huo mbingu zikatiwa giza kwa mawingu na upepo+ na mvua kubwa sana ikaanza kunyesha.+ Na Ahabu akaendelea kupanda gari, akaenda zake Yezreeli.+ Hosea 2:22 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 22 dunia nayo itaijibu nafaka+ na divai tamu na mafuta; vitu hivyo navyo vitajibu Yezreeli [‘Mungu atapanda mbegu’].+
45 Na ikawa kwamba wakati huo mbingu zikatiwa giza kwa mawingu na upepo+ na mvua kubwa sana ikaanza kunyesha.+ Na Ahabu akaendelea kupanda gari, akaenda zake Yezreeli.+
22 dunia nayo itaijibu nafaka+ na divai tamu na mafuta; vitu hivyo navyo vitajibu Yezreeli [‘Mungu atapanda mbegu’].+