1 Samweli 12:18 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 18 Ndipo Samweli akamwita Yehova,+ naye Yehova akaleta mngurumo na mvua siku hiyo,+ hivi kwamba watu wote wakawaogopa sana Yehova na Samweli. Ayubu 38:37 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 37 Ni nani anayeweza kuhesabu kwa ukamili mawingu kwa hekima,Au mitungi ya maji ya mbingu—ni nani anayeweza kuipindua,+ Zaburi 68:9 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 9 Ulisababisha mvua kubwa ianze kunyesha, Ee Mungu;+Urithi wako, hata wakati ulipokuwa umechoka—wewe mwenyewe uliupatia nguvu tena.+
18 Ndipo Samweli akamwita Yehova,+ naye Yehova akaleta mngurumo na mvua siku hiyo,+ hivi kwamba watu wote wakawaogopa sana Yehova na Samweli.
37 Ni nani anayeweza kuhesabu kwa ukamili mawingu kwa hekima,Au mitungi ya maji ya mbingu—ni nani anayeweza kuipindua,+
9 Ulisababisha mvua kubwa ianze kunyesha, Ee Mungu;+Urithi wako, hata wakati ulipokuwa umechoka—wewe mwenyewe uliupatia nguvu tena.+