Zaburi 65:9 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 9 Umeielekezea dunia fikira zako, ili uipatie wingi;+Unaitajirisha sana.Kijito kinachotoka kwa Mungu kimejaa maji.+Wewe unatayarisha nafaka yao,+Kwa maana hivyo ndivyo unavyoitayarisha dunia.+ Ezekieli 34:26 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 26 Nami nitawafanya wao na mazingira ya kilima changu kuwa baraka,+ nami nitaifanya mvua inayomwagika ishuke kwa wakati wake. Kutakuwa na mvua inayomwagika ya baraka.+
9 Umeielekezea dunia fikira zako, ili uipatie wingi;+Unaitajirisha sana.Kijito kinachotoka kwa Mungu kimejaa maji.+Wewe unatayarisha nafaka yao,+Kwa maana hivyo ndivyo unavyoitayarisha dunia.+
26 Nami nitawafanya wao na mazingira ya kilima changu kuwa baraka,+ nami nitaifanya mvua inayomwagika ishuke kwa wakati wake. Kutakuwa na mvua inayomwagika ya baraka.+