Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Isaya 56:7
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 7 mimi pia nitawaleta katika mlima wangu mtakatifu+ na kuwafanya washangilie ndani ya nyumba yangu ya sala.+ Matoleo yao mazima ya kuteketezwa+ na dhabihu+ zao zitapata kibali juu ya madhabahu yangu.+ Kwa maana nyumba yangu itaitwa nyumba ya sala kwa ajili ya vikundi vyote vya watu.”+

  • Ezekieli 20:40
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 40 “ ‘Kwa maana katika mlima wangu mtakatifu, katika mlima wa kilele cha Israeli,’+ asema Bwana Mwenye Enzi Kuu Yehova, ‘huko ndiko wao, nyumba yote ya Israeli ikiwa nzima, itanitumikia, katika nchi ile.+ Nitafurahishwa nao huko, na huko nitaitaka michango yenu na matunda ya kwanza ya matoleo yenu katika vitu vyenu vyote vilivyo vitakatifu.+

  • Mika 4:1
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 4 Na itatukia katika siku za mwisho+ kwamba mlima+ wa nyumba+ ya Yehova utawekwa imara juu ya kilele cha milima, nao utainuliwa juu ya vilima;+ na vikundi vya watu vitamiminika huko.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki