Zaburi 86:9 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 9 Mataifa yote ambayo umeyafanya, yatakuja yenyewe,+Nayo yatainama mbele zako, Ee Yehova,+Na kulipa utukufu jina lako.+ Isaya 60:3 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 3 Na hakika mataifa yataenda kwenye nuru yako,+ na wafalme+ kwenye mwangaza wa mwanga wako.+ Ufunuo 15:4 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 4 Ni nani ambaye kwa kweli hatakuogopa wewe,+ Yehova,+ na kulitukuza jina lako,+ kwa sababu wewe peke yako ni mshikamanifu?+ Kwa maana mataifa yote yatakuja na kuabudu mbele zako,+ kwa sababu amri zako za uadilifu zimefunuliwa.”+
9 Mataifa yote ambayo umeyafanya, yatakuja yenyewe,+Nayo yatainama mbele zako, Ee Yehova,+Na kulipa utukufu jina lako.+
4 Ni nani ambaye kwa kweli hatakuogopa wewe,+ Yehova,+ na kulitukuza jina lako,+ kwa sababu wewe peke yako ni mshikamanifu?+ Kwa maana mataifa yote yatakuja na kuabudu mbele zako,+ kwa sababu amri zako za uadilifu zimefunuliwa.”+