Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Mwanzo 12:2
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 2 nami nitafanya taifa kubwa kutokana nawe, nitakubariki na kulifanya jina lako kuwa kuu; nawe uwe baraka.+

  • Mambo ya Walawi 26:4
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 4 hakika mimi pia nitawapa ninyi manyunyu yenu ya mvua wakati wake unaofaa,+ nayo nchi itatoa mazao yake,+ nao mti wa shambani utatoa matunda yake.+

  • Kumbukumbu la Torati 28:12
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 12 Yehova atakufungulia ghala lake zuri, mbingu, ili kunyesha mvua juu ya nchi yako katika majira+ yake na kubariki kila tendo la mkono wako;+ nawe hakika utakopesha mataifa mengi, hali wewe mwenyewe hutakopa.+

  • Zaburi 68:9
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    •  9 Ulisababisha mvua kubwa ianze kunyesha, Ee Mungu;+

      Urithi wako, hata wakati ulipokuwa umechoka​—wewe mwenyewe uliupatia nguvu tena.+

  • Methali 10:22
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 22 Baraka ya Yehova—hiyo ndiyo hutajirisha,+ naye haongezi maumivu pamoja nayo.+

  • Zekaria 8:13
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 13 Na itakuwa kwamba kama vile mlivyokuwa laana katikati ya mataifa,+ enyi nyumba ya Yuda na nyumba ya Israeli,+ ndivyo nitakavyowaokoa, nanyi mtakuwa baraka.+ Msiogope.+ Mikono yenu na iwe na nguvu.’+

  • Malaki 3:10
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 10 Leteni ghalani sehemu zote za kumi,+ ili kuwe na chakula nyumbani mwangu;+ nanyi, tafadhali, mnijaribu kwa njia hii,”+ Yehova wa majeshi amesema, “kama sitawafungulia ninyi malango ya mbinguni+ na kuwamwagia baraka hata kusiwe na uhitaji tena.”+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki