Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Kumbukumbu la Torati 28:12
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 12 Yehova atakufungulia ghala lake zuri, mbingu, ili kunyesha mvua juu ya nchi yako katika majira+ yake na kubariki kila tendo la mkono wako;+ nawe hakika utakopesha mataifa mengi, hali wewe mwenyewe hutakopa.+

  • Isaya 30:23
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 23 Naye hakika ataleta mvua kwa ajili ya mbegu yako unayoipanda katika udongo,+ na mkate kuwa mazao ya udongo, ambao utakuwa mnono na wenye mafuta.+ Mifugo yako italisha katika siku hiyo katika malisho mapana.+

  • Ezekieli 34:26
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 26 Nami nitawafanya wao na mazingira ya kilima changu kuwa baraka,+ nami nitaifanya mvua inayomwagika ishuke kwa wakati wake. Kutakuwa na mvua inayomwagika ya baraka.+

  • Yoeli 2:23
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 23 Nanyi, wana wa Sayuni, furahini na mshangilie katika Yehova Mungu wenu;+ kwa maana atakuwa na wajibu wa kuwapa mvua ya vuli kwa kiasi kinachofaa,+ naye atawaletea ninyi mvua kubwa, mvua ya vuli na mvua ya masika, kama pale mwanzoni.+

  • Amosi 4:7
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 7 “ ‘Mimi pia, nilizuia mvua isiwanyeshee ninyi kukiwa kungali miezi mitatu kabla ya mavuno;+ nami nikainyesha katika jiji moja, lakini jiji lingine sikuinyesha. Kuna sehemu moja ya shamba ambayo ilinyeshewa, lakini sehemu ya shamba ambayo sikuinyeshea ilikauka.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki