Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Zaburi 28:7
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    •  7 Yehova ni nguvu+ zangu na ngao+ yangu.

      Moyo wangu umemtegemea yeye,+

      Nami nimesaidiwa, hivi kwamba moyo wangu unashangilia,+

      Nami nitamsifu kwa wimbo wangu.+

  • Isaya 12:6
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 6 “Paaza sauti na upige kelele kwa shangwe, Ee mwanamke mkaaji wa Sayuni, kwa maana Mtakatifu wa Israeli ni mkuu katikati yako.”+

  • Isaya 41:16
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 16 Utawapepeta,+ na upepo utawachukulia mbali,+ na dhoruba ya upepo itawasukuma kwenda njia mbalimbali.+ Nawe mwenyewe utashangilia katika Yehova.+ Utajisifu katika Mtakatifu wa Israeli.”+

  • Isaya 61:10
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 10 Hakika nitafurahi katika Yehova.+ Nafsi yangu itakuwa na shangwe katika Mungu wangu.+ Kwa maana amenivika mavazi ya wokovu;+ amenivika koti lisilo na mikono la uadilifu,+ kama bwana-arusi ambaye, kama kuhani, anavaa vazi la kichwani,+ na kama bibi-arusi anayejipamba kwa vitu vya mapambo yake.+

  • Habakuki 3:18
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 18 Lakini mimi, nitafurahi katika Yehova mwenyewe;+ nitakuwa na shangwe katika Mungu wa wokovu wangu.+

  • Zekaria 10:7
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 7 Na wale wa Efraimu watakuwa kama mwanamume mwenye nguvu,+ na moyo wao utashangilia kana kwamba kutokana na divai.+ Na wana wao wenyewe wataona nao hakika washangilie;+ moyo wao utashangilia katika Yehova.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki