16 Utawapepeta,+ na upepo utawachukulia mbali,+ na dhoruba ya upepo itawasukuma kwenda njia mbalimbali.+ Nawe mwenyewe utashangilia katika Yehova.+ Utajisifu katika Mtakatifu wa Israeli.”+
10 Hakika nitafurahi katika Yehova.+ Nafsi yangu itakuwa na shangwe katika Mungu wangu.+ Kwa maana amenivika mavazi ya wokovu;+ amenivika koti lisilo na mikono la uadilifu,+ kama bwana-arusi ambaye, kama kuhani, anavaa vazi la kichwani,+ na kama bibi-arusi anayejipamba kwa vitu vya mapambo yake.+
7 Na wale wa Efraimu watakuwa kama mwanamume mwenye nguvu,+ na moyo wao utashangilia kana kwamba kutokana na divai.+ Na wana wao wenyewe wataona nao hakika washangilie;+ moyo wao utashangilia katika Yehova.+