1 Samweli 2:1 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 2 Naye Hana akasali+ na kusema:“Moyo wangu unafurahi katika Yehova,+Pembe yangu kweli imeinuliwa katika Yehova.+Kinywa changu kimepanuliwa juu ya adui zangu,Kwa maana ninashangilia katika wokovu kutoka kwako.+ Waroma 5:11 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 11 Na si hilo tu, bali pia tunafurahi katika Mungu kupitia Bwana wetu Yesu Kristo, ambaye kupitia yeye sasa tumepokea huo upatanisho.+
2 Naye Hana akasali+ na kusema:“Moyo wangu unafurahi katika Yehova,+Pembe yangu kweli imeinuliwa katika Yehova.+Kinywa changu kimepanuliwa juu ya adui zangu,Kwa maana ninashangilia katika wokovu kutoka kwako.+
11 Na si hilo tu, bali pia tunafurahi katika Mungu kupitia Bwana wetu Yesu Kristo, ambaye kupitia yeye sasa tumepokea huo upatanisho.+