Zaburi 18:2 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 2 Yehova ni mwamba wangu na ngome yangu na Mwokoaji wangu.+Mungu wangu ni mwamba wangu. Nitamkimbilia,+Ngao yangu na pembe yangu ya wokovu, kilele changu salama.+ Zaburi 89:17 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 17 Kwa maana wewe ni uzuri wa nguvu zao;+Na kwa nia yako njema pembe yetu inainuliwa.+ Zaburi 92:10 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 10 Lakini wewe utaiinua pembe yangu kama ile ya ng’ombe-mwitu;+Nitajipaka mafuta mapya.+
2 Yehova ni mwamba wangu na ngome yangu na Mwokoaji wangu.+Mungu wangu ni mwamba wangu. Nitamkimbilia,+Ngao yangu na pembe yangu ya wokovu, kilele changu salama.+