Zekaria 10:7 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 7 Ni lazima watu wa Efraimu wawe kama shujaa hodari,Na moyo wao utashangilia kana kwamba wamekunywa divai.+ Wana wao wataona jambo hilo na kushangilia;Moyo wao utashangilia katika Yehova.+
7 Ni lazima watu wa Efraimu wawe kama shujaa hodari,Na moyo wao utashangilia kana kwamba wamekunywa divai.+ Wana wao wataona jambo hilo na kushangilia;Moyo wao utashangilia katika Yehova.+