Zaburi 45:13 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 13 Binti ya mfalme ana utukufu wote ndani ya nyumba;+Mavazi yake yamepambwa kwa dhahabu. Isaya 49:18 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 18 Inua macho yako pande zote, uone. Wote wamekusanywa pamoja.+ Wamekujia. “Kama ninavyoishi,” asema Yehova,+ “utajivika hao wote kana kwamba ni kwa mapambo, nawe utajifunga hao kama bibi-arusi.+ Ufunuo 19:7 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 7 Acheni tushangilie na kuwa wenye shangwe mno, na tumpe yeye utukufu,+ kwa sababu ndoa+ ya Mwana-Kondoo imefika+ na mke wake amejitayarisha.+
18 Inua macho yako pande zote, uone. Wote wamekusanywa pamoja.+ Wamekujia. “Kama ninavyoishi,” asema Yehova,+ “utajivika hao wote kana kwamba ni kwa mapambo, nawe utajifunga hao kama bibi-arusi.+
7 Acheni tushangilie na kuwa wenye shangwe mno, na tumpe yeye utukufu,+ kwa sababu ndoa+ ya Mwana-Kondoo imefika+ na mke wake amejitayarisha.+