Isaya 49:18 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 18 Inua macho yako utazame pande zote. Wote wanakusanyika pamoja.+ Wanakuja kwako. “Kwa hakika kama ninavyoishi,” asema Yehova,“Utajivika hao wote kana kwamba ni mapambo,Nawe utajifunga watu hao kama bibi harusi anavyofanya. Isaya Fahirisi ya Machapisho ya Watch Tower 1996-2012 49:18 ip-2 147 Isaya Mwongozo wa Utafiti wa Mashahidi wa Yehova—Toleo la 2019 49:18 Unabii wa Isaya II, kur. 147-148
18 Inua macho yako utazame pande zote. Wote wanakusanyika pamoja.+ Wanakuja kwako. “Kwa hakika kama ninavyoishi,” asema Yehova,“Utajivika hao wote kana kwamba ni mapambo,Nawe utajifunga watu hao kama bibi harusi anavyofanya.