13 Kwa hiyo Bwana Mwenye Enzi Kuu Yehova amesema hivi: “Tazama! Watumishi wangu watakula,+ lakini ninyi mtakuwa na njaa.+ Tazama! Watumishi wangu watakunywa,+ lakini ninyi mtakuwa na kiu.+ Tazama! Watumishi wangu watashangilia,+ lakini ninyi mtaona aibu.+