5 Sikieni neno la Yehova, ninyi mnaotetemeka kwa ajili ya neno lake:+ “Ndugu zenu wanaowachukia,+ ambao wanawatenga ninyi kwa sababu ya jina langu,+ walisema, ‘Yehova na atukuzwe!’+ Yeye pia atatokea pamoja na shangwe kwa ajili yenu,+ nao ndio watakaotiwa aibu.”+