Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Yohana 16:2
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 2 Watu watawafukuza ninyi katika sinagogi.+ Kwa kweli, saa inakuja wakati ambapo kila mtu anayewaua ninyi atafikiri amemtolea Mungu utumishi mtakatifu.+

  • Wagalatia 2:4
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 4 Lakini kwa sababu ya akina ndugu wa uwongo+ walioingizwa ndani kimya-kimya,+ walioingia kisirisiri ili kupeleleza uhuru+ wetu tulio nao katika muungano na Kristo Yesu, ili watufanye sisi kuwa watumwa+ kabisa—

  • 2 Wathesalonike 2:3
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 3 Msiache mtu yeyote awashawishi ninyi kwa namna yoyote, kwa sababu hiyo haitakuja isipokuwa uasi-imani+ uje kwanza na yule mtu wa uasi-sheria+ afunuliwe,+ mwana wa maangamizi.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki