2 Watu watawafukuza ninyi katika sinagogi.+ Kwa kweli, saa inakuja wakati ambapo kila mtu anayewaua ninyi atafikiri amemtolea Mungu utumishi mtakatifu.+
4 Lakini kwa sababu ya akina ndugu wa uwongo+ walioingizwa ndani kimya-kimya,+ walioingia kisirisiri ili kupeleleza uhuru+ wetu tulio nao katika muungano na Kristo Yesu, ili watufanye sisi kuwa watumwa+ kabisa—
3 Msiache mtu yeyote awashawishi ninyi kwa namna yoyote, kwa sababu hiyo haitakuja isipokuwa uasi-imani+ uje kwanza na yule mtu wa uasi-sheria+ afunuliwe,+ mwana wa maangamizi.+