41 Mwana wa binadamu atatuma malaika zake, nao watakusanya kutoka katika ufalme wake vitu vyote ambavyo husababisha kukwazika+ na watu wanaoasi sheria,
24 Kwa maana Makristo wa uwongo+ na manabii wa uwongo+ watatokea na kutoa ishara+ kubwa na maajabu ili kuwapotosha, ikiwezekana, hata wale waliochaguliwa.+
7 Kwa maana wadanganyifu wengi wametokea katika ulimwengu,+ watu ambao hawamkiri Yesu Kristo kuwa alikuja katika mwili.+ Hao ndio yule mdanganyifu+ na mpinga-Kristo.+