Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Mathayo 24:24
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 24 Kwa maana Makristo wa uwongo+ na manabii wa uwongo+ watatokea na kutoa ishara+ kubwa na maajabu ili kuwapotosha, ikiwezekana, hata wale waliochaguliwa.+

  • Matendo 20:29
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 29 Ninajua kwamba baada ya kuondoka kwangu mbwa-mwitu+ wenye kukandamiza wataingia katikati yenu nao hawatalitendea kundi kwa wororo,

  • 2 Petro 2:1
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 2 Hata hivyo, kulikuwa pia na manabii wa uwongo katikati ya wale watu, kama vile pia kutakavyokuwa na walimu wa uwongo katikati yenu.+ Hawa wataingiza ndani kimya-kimya madhehebu yenye kuharibu nao watamkana hata yule bwana aliyewanunua,+ wakijiletea wenyewe maangamizi ya haraka.

  • 1 Yohana 2:18
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 18 Watoto wachanga, ni saa ya mwisho,+ na, kama vile ambavyo mmesikia kwamba mpinga-Kristo anakuja,+ hata sasa kumekuwa na wapinga-Kristo wengi;+ uhakika ambao kutokana nao tunajua kwamba ni saa ya mwisho.

  • Ufunuo 2:2
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 2 ‘Mimi nayajua matendo yako,+ na kazi yako ya jasho na uvumilivu, na kwamba huwavumilii watu wabaya, na kwamba uliwajaribu+ wale wanaosema kwamba wao ni mitume,+ lakini wao sio, nawe uliwaona kuwa waongo.

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki