Matendo 20:30 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 30 na kutoka katikati yenu ninyi wenyewe watu watasimama na kusema mambo yaliyopotoka+ ili kuwavuta wanafunzi wawafuate wao wenyewe.+ 2 Wakorintho 11:13 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 13 Kwa maana watu wa namna hiyo ni mitume wa uwongo, wafanyakazi wadanganyifu,+ wakijigeuza wenyewe kuwa mitume wa Kristo.+
30 na kutoka katikati yenu ninyi wenyewe watu watasimama na kusema mambo yaliyopotoka+ ili kuwavuta wanafunzi wawafuate wao wenyewe.+
13 Kwa maana watu wa namna hiyo ni mitume wa uwongo, wafanyakazi wadanganyifu,+ wakijigeuza wenyewe kuwa mitume wa Kristo.+