19 ‘Mimi nayajua matendo yako, na upendo+ wako na imani na huduma na uvumilivu wako, na kwamba matendo+ yako ya hivi karibuni yanazidi yale ya zamani.+
3“Na kwa malaika+ wa kutaniko katika Sardi andika: Haya ndiyo mambo anayosema yeye aliye na zile roho saba+ za Mungu na zile nyota saba,+ ‘Mimi nayajua matendo yako, kwamba una jina kuwa uko hai, lakini umekufa.+