Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Yohana 2:25
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 25 na kwa sababu hakuwa na uhitaji wa mtu yeyote kutoa ushahidi juu ya mwanadamu, kwa maana yeye mwenyewe alijua kile kilichokuwa ndani ya mwanadamu.+

  • Ufunuo 2:19
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 19 ‘Mimi nayajua matendo yako, na upendo+ wako na imani na huduma na uvumilivu wako, na kwamba matendo+ yako ya hivi karibuni yanazidi yale ya zamani.+

  • Ufunuo 3:1
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 3 “Na kwa malaika+ wa kutaniko katika Sardi andika: Haya ndiyo mambo anayosema yeye aliye na zile roho saba+ za Mungu na zile nyota saba,+ ‘Mimi nayajua matendo yako, kwamba una jina kuwa uko hai, lakini umekufa.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki