-
Ufunuo 3:1Tafsiri ya Ulimwengu Mpya ya Maandiko ya Kigiriki ya Kikristo
-
-
3 “Na kwa malaika wa kutaniko katika Sardisi andika: Haya ndiyo mambo ayasemayo yeye aliye na zile roho saba za Mungu na zile nyota saba, ‘Mimi navijua vitendo vyako, kwamba una jina kuwa uko hai, lakini wewe ni mfu.
-