3“Kwa malaika wa kutaniko lililo huko Sardi andika: Haya ndiyo mambo anayosema yule aliye na zile roho saba za Mungu+ na zile nyota saba:+ ‘Ninayajua matendo yako, kwamba una jina* kuwa uko hai, lakini umekufa.+
3“Na kwa malaika+ wa kutaniko katika Sardi andika: Haya ndiyo mambo anayosema yeye aliye na zile roho saba+ za Mungu na zile nyota saba,+ ‘Mimi nayajua matendo yako, kwamba una jina kuwa uko hai, lakini umekufa.+