2 Wakorintho 11:20 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 20 Kwa kweli, mnamvumilia yeyote anayewafanya ninyi kuwa watumwa,+ yeyote anayemeza kile mlicho nacho, yeyote anayenyakua kile mlicho nacho, yeyote anayejiinua mwenyewe juu yenu, yeyote anayewapiga usoni.+ Wagalatia 4:9 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 9 Lakini sasa kwa kuwa mmemjua Mungu, au afadhali zaidi kwamba sasa Mungu amewajua ninyi,+ kwa nini mnarudi tena kwenye mambo ya msingi+ yaliyo dhaifu+ na yasiyo na maana na kutaka kuyatumikia kwa mara nyingine tena?+
20 Kwa kweli, mnamvumilia yeyote anayewafanya ninyi kuwa watumwa,+ yeyote anayemeza kile mlicho nacho, yeyote anayenyakua kile mlicho nacho, yeyote anayejiinua mwenyewe juu yenu, yeyote anayewapiga usoni.+
9 Lakini sasa kwa kuwa mmemjua Mungu, au afadhali zaidi kwamba sasa Mungu amewajua ninyi,+ kwa nini mnarudi tena kwenye mambo ya msingi+ yaliyo dhaifu+ na yasiyo na maana na kutaka kuyatumikia kwa mara nyingine tena?+