4 Lakini kwa sababu ya akina ndugu wa uwongo+ walioingizwa ndani kimya-kimya,+ walioingia kisirisiri ili kupeleleza uhuru+ wetu tulio nao katika muungano na Kristo Yesu, ili watufanye sisi kuwa watumwa+ kabisa—
9 Lakini sasa kwa kuwa mmemjua Mungu, au afadhali zaidi kwamba sasa Mungu amewajua ninyi,+ kwa nini mnarudi tena kwenye mambo ya msingi+ yaliyo dhaifu+ na yasiyo na maana na kutaka kuyatumikia kwa mara nyingine tena?+