Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Yohana 8:32
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 32 nanyi mtaijua kweli,+ nayo kweli itawaweka ninyi huru.”+

  • Yohana 8:36
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 36 Kwa hiyo Mwana akiwaweka ninyi huru, mtakuwa huru kwelikweli.+

  • 2 Wakorintho 3:17
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 17 Basi Yehova ndiye Roho;+ na mahali palipo na roho+ ya Yehova,+ pana uhuru.+

  • Wagalatia 5:1
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 5 Kristo alituweka huru+ tuwe na uhuru wa namna hiyo. Kwa hiyo simameni imara,+ na msijiache wenyewe kufungwa tena katika nira ya utumwa.+

  • 1 Petro 2:16
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 16 Iweni kama watu huru,+ lakini muwe na uhuru wenu, si kama kifuniko cha ubaya,+ bali kama watumwa wa Mungu.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki