Yohana 8:32 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 32 nanyi mtaijua kweli,+ nayo kweli itawaweka ninyi huru.”+ Yohana 8:36 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 36 Kwa hiyo Mwana akiwaweka ninyi huru, mtakuwa huru kwelikweli.+ 2 Wakorintho 3:17 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 17 Basi Yehova ndiye Roho;+ na mahali palipo na roho+ ya Yehova,+ pana uhuru.+ Wagalatia 5:1 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 5 Kristo alituweka huru+ tuwe na uhuru wa namna hiyo. Kwa hiyo simameni imara,+ na msijiache wenyewe kufungwa tena katika nira ya utumwa.+ 1 Petro 2:16 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 16 Iweni kama watu huru,+ lakini muwe na uhuru wenu, si kama kifuniko cha ubaya,+ bali kama watumwa wa Mungu.+
5 Kristo alituweka huru+ tuwe na uhuru wa namna hiyo. Kwa hiyo simameni imara,+ na msijiache wenyewe kufungwa tena katika nira ya utumwa.+
16 Iweni kama watu huru,+ lakini muwe na uhuru wenu, si kama kifuniko cha ubaya,+ bali kama watumwa wa Mungu.+