Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Waroma 6:14
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 14 Kwa maana dhambi haipaswi kuwa bwana juu yenu, kwa kuwa ninyi hamko chini ya sheria+ bali chini ya fadhili zisizostahiliwa.+

  • Waroma 8:15
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 15 Kwa maana hamkupokea roho ya utumwa inayosababisha woga+ tena, bali mlipokea roho+ ya kufanywa kuwa wana,+ roho ambayo kupitia hiyo tunapaaza sauti: “Abba,+ Baba!”

  • Wagalatia 5:1
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 5 Kristo alituweka huru+ tuwe na uhuru wa namna hiyo. Kwa hiyo simameni imara,+ na msijiache wenyewe kufungwa tena katika nira ya utumwa.+

  • Wagalatia 5:13
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 13 Bila shaka, ninyi mliitiwa uhuru,+ akina ndugu; ila msiutumie uhuru huu kuuchochea mwili,+ bali kupitia upendo mtumikiane.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki