Waroma 6:14 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 14 Kwa maana dhambi haipaswi kuwa bwana juu yenu, kwa kuwa ninyi hamko chini ya sheria+ bali chini ya fadhili zisizostahiliwa.+ Waroma 8:15 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 15 Kwa maana hamkupokea roho ya utumwa inayosababisha woga+ tena, bali mlipokea roho+ ya kufanywa kuwa wana,+ roho ambayo kupitia hiyo tunapaaza sauti: “Abba,+ Baba!” Wagalatia 5:1 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 5 Kristo alituweka huru+ tuwe na uhuru wa namna hiyo. Kwa hiyo simameni imara,+ na msijiache wenyewe kufungwa tena katika nira ya utumwa.+ Wagalatia 5:13 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 13 Bila shaka, ninyi mliitiwa uhuru,+ akina ndugu; ila msiutumie uhuru huu kuuchochea mwili,+ bali kupitia upendo mtumikiane.+
14 Kwa maana dhambi haipaswi kuwa bwana juu yenu, kwa kuwa ninyi hamko chini ya sheria+ bali chini ya fadhili zisizostahiliwa.+
15 Kwa maana hamkupokea roho ya utumwa inayosababisha woga+ tena, bali mlipokea roho+ ya kufanywa kuwa wana,+ roho ambayo kupitia hiyo tunapaaza sauti: “Abba,+ Baba!”
5 Kristo alituweka huru+ tuwe na uhuru wa namna hiyo. Kwa hiyo simameni imara,+ na msijiache wenyewe kufungwa tena katika nira ya utumwa.+
13 Bila shaka, ninyi mliitiwa uhuru,+ akina ndugu; ila msiutumie uhuru huu kuuchochea mwili,+ bali kupitia upendo mtumikiane.+