Yohana 8:36 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 36 Kwa hiyo Mwana akiwaweka ninyi huru, mtakuwa huru kwelikweli.+ Waroma 6:22 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 22 Hata hivyo, sasa, kwa sababu mliwekwa huru kutoka katika dhambi lakini mkawa watumwa kwa Mungu,+ mnapata tunda+ lenu katika utakatifu, na mwisho ni uzima wa milele.+
22 Hata hivyo, sasa, kwa sababu mliwekwa huru kutoka katika dhambi lakini mkawa watumwa kwa Mungu,+ mnapata tunda+ lenu katika utakatifu, na mwisho ni uzima wa milele.+