Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Matendo 15:24
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 24 Kwa kuwa tumesikia kwamba baadhi ya wale waliotoka kati yetu wamewataabisha ninyi kwa maneno mengi,+ wakijaribu kupindua nafsi zenu, ijapokuwa sisi hatukuwapa maagizo yoyote,+

  • 2 Wakorintho 11:26
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 26 katika safari mara nyingi, katika hatari za kutokana na mito, katika hatari za kutokana na wanyang’anyi wa njia kuu,+ katika hatari za kutokana na jamii yangu+ mwenyewe, katika hatari za kutokana na mataifa,+ katika hatari ndani ya jiji,+ katika hatari za nyikani, katika hatari za baharini, katika hatari za katikati ya ndugu wa uwongo,

  • Yuda 4
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 4 Sababu yangu ni kwamba watu fulani wameingia ndani kisirisiri+ ambao tangu zamani za kale walitangulia kutajwa+ na Maandiko kwa ajili ya hukumu hii,+ watu wasiomwogopa Mungu,+ wanaozigeuza fadhili zisizostahiliwa za Mungu wetu kuwa kisingizio cha mwenendo mpotovu+ na kumkana+ Mmiliki+ na Bwana+ wetu pekee, Yesu Kristo.

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki