Isaya 66:5 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 5 Sikieni neno la Yehova, ninyi mnaolitetemekea* neno lake: “Ndugu zenu wanaowachukia na kuwatenga kwa sababu ya jina langu, walisema, ‘Yehova na atukuzwe!’+ Lakini atatokea na kuwaletea shangwe,Nao ndio watakaoaibishwa.”+ Isaya Fahirisi ya Machapisho ya Watch Tower 1996-2012 66:5 ip-2 394-396 Isaya Mwongozo wa Utafiti wa Mashahidi wa Yehova—Toleo la 2019 66:5 Unabii wa Isaya II, kur. 394-396
5 Sikieni neno la Yehova, ninyi mnaolitetemekea* neno lake: “Ndugu zenu wanaowachukia na kuwatenga kwa sababu ya jina langu, walisema, ‘Yehova na atukuzwe!’+ Lakini atatokea na kuwaletea shangwe,Nao ndio watakaoaibishwa.”+