-
Isaya 65:13, 14Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
-
-
13 Kwa hiyo Bwana Mwenye Enzi Kuu Yehova anasema hivi:
“Tazama! Watumishi wangu watakula, lakini ninyi mtakuwa na njaa.+
Tazama! Watumishi wangu watakunywa,+ lakini ninyi mtakuwa na kiu.
Tazama! Watumishi wangu watashangilia,+ lakini ninyi mtaona aibu.+
14 Tazama! Watumishi wangu watapiga vigelegele kwa shangwe kwa sababu ya hali nzuri ya moyo,
Lakini ninyi mtalia kwa sababu ya maumivu ya moyo
Nanyi mtaomboleza kwa sababu ya roho iliyovunjika.
-
-
Yeremia 17:13Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
-
-
13 Ee Yehova, tumaini la Israeli,
Wote wanaokuacha wataaibishwa.
-
-
Yeremia 17:18Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
-
-
Waache washikwe na hofu,
Lakini usiruhusu nishikwe na hofu.
-