Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Isaya 65:13, 14
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 13 Kwa hiyo Bwana Mwenye Enzi Kuu Yehova anasema hivi:

      “Tazama! Watumishi wangu watakula, lakini ninyi mtakuwa na njaa.+

      Tazama! Watumishi wangu watakunywa,+ lakini ninyi mtakuwa na kiu.

      Tazama! Watumishi wangu watashangilia,+ lakini ninyi mtaona aibu.+

      14 Tazama! Watumishi wangu watapiga vigelegele kwa shangwe kwa sababu ya hali nzuri ya moyo,

      Lakini ninyi mtalia kwa sababu ya maumivu ya moyo

      Nanyi mtaomboleza kwa sababu ya roho iliyovunjika.

  • Yeremia 17:13
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 13 Ee Yehova, tumaini la Israeli,

      Wote wanaokuacha wataaibishwa.

      Wale wanaokuasi* wataandikwa mavumbini,+

      Kwa sababu wamemwacha Yehova, chanzo cha maji yaliyo hai.+

  • Yeremia 17:18
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 18 Wale wanaonitesa na waaibishwe,+

      Lakini usiruhusu niaibishwe.

      Waache washikwe na hofu,

      Lakini usiruhusu nishikwe na hofu.

      Ilete siku ya msiba juu yao,+

      Nawe uwaponde na kuwaangamiza kabisa.*

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki