Yeremia 15:15 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 15 Wewe unajua, Ee Yehova,Nikumbuke na unikazie fikira. Nilipizie kisasi wanaonitesa.+ Usiache niangamie* kwa sababu wewe hukasiriki upesi. Ujue kwamba ninabeba shutuma hii kwa sababu yako.+ Yeremia 20:11 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 11 Lakini Yehova alikuwa pamoja nami kama shujaa anayetisha.+ Ndiyo sababu wale wanaonitesa watajikwaa nao hawatashinda.+ Wataaibishwa sana, kwa maana hawatafanikiwa. Fedheha yao ya milele haitasahauliwa.+
15 Wewe unajua, Ee Yehova,Nikumbuke na unikazie fikira. Nilipizie kisasi wanaonitesa.+ Usiache niangamie* kwa sababu wewe hukasiriki upesi. Ujue kwamba ninabeba shutuma hii kwa sababu yako.+
11 Lakini Yehova alikuwa pamoja nami kama shujaa anayetisha.+ Ndiyo sababu wale wanaonitesa watajikwaa nao hawatashinda.+ Wataaibishwa sana, kwa maana hawatafanikiwa. Fedheha yao ya milele haitasahauliwa.+