Isaya 5:18, 19 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 18 Ole wao wanaokokota hatia yao kwa kamba za udanganyifuNa dhambi yao kwa kamba za gari la kukokotwa;19 Wale wanaosema: “Na aharakishe kazi yake;Na ije upesi ili tuione. Kusudi la* Mtakatifu wa Israeli na litimizweIli tulijue!”+ Isaya 29:13 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 13 Yehova anasema: “Watu hawa hunikaribia kwa vinywa vyaoNao huniheshimu kwa midomo yao,+Lakini mioyo yao iko mbali sana nami;Na hofu yao kunielekea inategemea amri za wanadamu ambazo wamefundishwa.+
18 Ole wao wanaokokota hatia yao kwa kamba za udanganyifuNa dhambi yao kwa kamba za gari la kukokotwa;19 Wale wanaosema: “Na aharakishe kazi yake;Na ije upesi ili tuione. Kusudi la* Mtakatifu wa Israeli na litimizweIli tulijue!”+
13 Yehova anasema: “Watu hawa hunikaribia kwa vinywa vyaoNao huniheshimu kwa midomo yao,+Lakini mioyo yao iko mbali sana nami;Na hofu yao kunielekea inategemea amri za wanadamu ambazo wamefundishwa.+