Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Isaya 5:18, 19
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 18 Ole wao wanaokokota hatia yao kwa kamba za udanganyifu

      Na dhambi yao kwa kamba za gari la kukokotwa;

      19 Wale wanaosema: “Na aharakishe kazi yake;

      Na ije upesi ili tuione.

      Kusudi la* Mtakatifu wa Israeli na litimizwe

      Ili tulijue!”+

  • Isaya 29:13
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 13 Yehova anasema: “Watu hawa hunikaribia kwa vinywa vyao

      Nao huniheshimu kwa midomo yao,+

      Lakini mioyo yao iko mbali sana nami;

      Na hofu yao kunielekea inategemea amri za wanadamu ambazo wamefundishwa.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki