Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Mathayo 15:7-9
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 7 Ninyi wanafiki, kwa kufaa Isaya alitabiri kuwahusu aliposema:+ 8 ‘Watu hawa huniheshimu kwa midomo yao, lakini mioyo yao iko mbali nami. 9 Wao huniabudu bure, kwa maana wanafundisha amri za wanadamu kuwa mafundisho.’”+

  • Marko 7:6-8
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 6 Akawaambia: “Isaya kwa kufaa alitoa unabii kuwahusu ninyi wanafiki, kama ilivyoandikwa, ‘Watu hawa huniheshimu kwa midomo yao, lakini mioyo yao iko mbali nami.+ 7 Wao huniabudu bure, kwa maana wanafundisha amri za wanadamu kuwa mafundisho.’+ 8 Mnaiacha amri ya Mungu, na kuyashika mapokeo ya wanadamu.”+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki