Mathayo 15:7-9 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 7 Ninyi wanafiki, kwa kufaa Isaya alitabiri kuwahusu aliposema:+ 8 ‘Watu hawa huniheshimu kwa midomo yao, lakini mioyo yao iko mbali nami. 9 Wao huniabudu bure, kwa maana wanafundisha amri za wanadamu kuwa mafundisho.’”+
7 Ninyi wanafiki, kwa kufaa Isaya alitabiri kuwahusu aliposema:+ 8 ‘Watu hawa huniheshimu kwa midomo yao, lakini mioyo yao iko mbali nami. 9 Wao huniabudu bure, kwa maana wanafundisha amri za wanadamu kuwa mafundisho.’”+