Isaya 29:13 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 13 Yehova anasema: “Watu hawa hunikaribia kwa vinywa vyaoNao huniheshimu kwa midomo yao,+Lakini mioyo yao iko mbali sana nami;Na hofu yao kunielekea inategemea amri za wanadamu ambazo wamefundishwa.+ Marko 7:7 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 7 Wao huniabudu bure, kwa maana wanafundisha amri za wanadamu kuwa mafundisho.’+
13 Yehova anasema: “Watu hawa hunikaribia kwa vinywa vyaoNao huniheshimu kwa midomo yao,+Lakini mioyo yao iko mbali sana nami;Na hofu yao kunielekea inategemea amri za wanadamu ambazo wamefundishwa.+