Isaya 48:1 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 48 Sikieni hili, enyi watu wa nyumba ya Yakobo,Ninyi mnaojiita kwa jina la Israeli+Na ambao mmetoka katika maji ya Yuda,*Ninyi mnaoapa kwa jina la Yehova+Na mnaomwitia Mungu wa Israeli,Ingawa si katika kweli na uadilifu.+ Yeremia 5:2 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 2 Hata wakisema: “Kwa hakika kama Yehova anavyoishi!” Bado wataapa kwa uwongo.+
48 Sikieni hili, enyi watu wa nyumba ya Yakobo,Ninyi mnaojiita kwa jina la Israeli+Na ambao mmetoka katika maji ya Yuda,*Ninyi mnaoapa kwa jina la Yehova+Na mnaomwitia Mungu wa Israeli,Ingawa si katika kweli na uadilifu.+