Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Ezra 10:3
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 3 Basi na tufanye agano+ na Mungu wetu tuwaondolee mbali+ wake wote na wale waliozaliwa nao kulingana na shauri la Yehova na la wale wanaotetemeka+ kwa ajili ya sheria+ ya Mungu wetu, ili ifanywe kulingana na sheria.+

  • Isaya 66:2
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 2 “Sasa mikono yangu imefanya hivi vyote, hivi kwamba hivi vyote vikaja kuwako,”+ asema Yehova. “Basi, nitamtazama huyu, yeye anayeteseka na kujuta rohoni+ na kutetemeka kwa ajili ya neno langu.+

  • Yeremia 36:16
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 16 Sasa ikawa kwamba mara tu walipoyasikia yale maneno yote, wakaangaliana kwa hofu; nao wakamwambia Baruku: “Bila shaka tutamwambia mfalme maneno haya yote.”+

  • Habakuki 3:16
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 16 Nilisikia, tumbo langu likaanza kutetemeka; midomo yangu ilitetemeka kwa sababu ya ule mvumo; kuoza kukaanza kuingia katika mifupa yangu;+ na katika hali yangu nikafadhaika, kwamba ningojee kimya siku ya taabu,+ kuja kwake kwa watu,+ apate kuwavamia.

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki