31 Na mfalme akaendelea kusimama mahali pake+ naye akafanya agano+ mbele za Yehova ili kumfuata Yehova na kushika amri+ zake na shuhuda+ zake na masharti+ yake kwa moyo wake wote+ na kwa nafsi yake yote,+ ili kutenda+ yale maneno ya agano yaliyoandikwa katika kitabu hiki.+