Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • 2 Wafalme 11:17
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 17 Ndipo Yehoyada akafanya agano+ kati ya Yehova+ na mfalme+ na watu, ili kwamba wajionyeshe kuwa watu wa Yehova; na pia kati ya mfalme na watu.+

  • 2 Mambo ya Nyakati 29:10
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 10 Sasa ninataka moyoni mwangu kufanya agano+ pamoja na Yehova Mungu wa Israeli, ili hasira yake inayowaka igeuke kutoka kwetu.

  • 2 Mambo ya Nyakati 34:31
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 31 Na mfalme akaendelea kusimama mahali pake+ naye akafanya agano+ mbele za Yehova ili kumfuata Yehova na kushika amri+ zake na shuhuda+ zake na masharti+ yake kwa moyo wake wote+ na kwa nafsi yake yote,+ ili kutenda+ yale maneno ya agano yaliyoandikwa katika kitabu hiki.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki