25 Kwa hiyo Samweli akasema na watu kuhusu fungu ambalo ni haki ya ufalme+ na kuandika hayo katika kitabu na kukiweka mbele za Yehova. Kisha Samweli akawaacha watu wote waende zao, kila mmoja nyumbani kwake.
3 Basi wanaume wote wazee+ wa Israeli wakaja kwa mfalme katika Hebroni, na Mfalme Daudi akafanya agano+ nao katika Hebroni mbele za Yehova; kisha wakamtia mafuta+ Daudi awe mfalme juu ya Israeli.+