1 Samweli 10:25 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 25 Samweli akawaambia watu kuhusu haki za wafalme+ na kuziandika katika kitabu na kukiweka mbele za Yehova. Kisha Samweli akawaruhusu watu wote waende zao, kila mtu akaenda nyumbani kwake.
25 Samweli akawaambia watu kuhusu haki za wafalme+ na kuziandika katika kitabu na kukiweka mbele za Yehova. Kisha Samweli akawaruhusu watu wote waende zao, kila mtu akaenda nyumbani kwake.