4 Pia wakaja kujikusanya kwangu, kila mtu akitetemeka+ kwa sababu ya maneno ya Mungu wa Israeli juu ya kukosa uaminifu kwa watu waliohamishwa, nami nikiwa nimeketi huku nimepigwa na bumbuazi mpaka wakati wa toleo la nafaka la jioni.+
2 “Sasa mikono yangu imefanya hivi vyote, hivi kwamba hivi vyote vikaja kuwako,”+ asema Yehova. “Basi, nitamtazama huyu, yeye anayeteseka na kujuta rohoni+ na kutetemeka kwa ajili ya neno langu.+