Zaburi 119:101 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 101 Nimeizuilia mbali miguu yangu kutoka katika kila pito baya,+Kusudi nipate kulishika neno lako.+ Luka 15:18 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 18 Nitaondoka nifunge safari+ kwenda kwa baba yangu na kumwambia: “Baba nimetenda dhambi juu ya mbingu na juu yako wewe.+ 2 Wakorintho 13:5 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 5 Endeleeni kujijaribu kama ninyi mko katika imani, endeleeni kuthibitisha ninyi wenyewe jinsi mlivyo.+ Au je, hamtambui kwamba Yesu Kristo yumo katika muungano pamoja na ninyi?+ Isipokuwa muwe mmekataliwa. Waefeso 5:15 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 15 Kwa hiyo endeleeni kuangalia sana kwamba jinsi mnavyotembea+ si kama watu wasio na hekima bali kama watu wenye hekima,
18 Nitaondoka nifunge safari+ kwenda kwa baba yangu na kumwambia: “Baba nimetenda dhambi juu ya mbingu na juu yako wewe.+
5 Endeleeni kujijaribu kama ninyi mko katika imani, endeleeni kuthibitisha ninyi wenyewe jinsi mlivyo.+ Au je, hamtambui kwamba Yesu Kristo yumo katika muungano pamoja na ninyi?+ Isipokuwa muwe mmekataliwa.
15 Kwa hiyo endeleeni kuangalia sana kwamba jinsi mnavyotembea+ si kama watu wasio na hekima bali kama watu wenye hekima,