Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Zaburi 119:101
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 101 Nimeizuilia mbali miguu yangu kutoka katika kila pito baya,+

      Kusudi nipate kulishika neno lako.+

  • Luka 15:18
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 18 Nitaondoka nifunge safari+ kwenda kwa baba yangu na kumwambia: “Baba nimetenda dhambi juu ya mbingu na juu yako wewe.+

  • 2 Wakorintho 13:5
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 5 Endeleeni kujijaribu kama ninyi mko katika imani, endeleeni kuthibitisha ninyi wenyewe jinsi mlivyo.+ Au je, hamtambui kwamba Yesu Kristo yumo katika muungano pamoja na ninyi?+ Isipokuwa muwe mmekataliwa.

  • Waefeso 5:15
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 15 Kwa hiyo endeleeni kuangalia sana kwamba jinsi mnavyotembea+ si kama watu wasio na hekima bali kama watu wenye hekima,

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki