Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Zaburi 18:23
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 23 Nami nitajiendesha bila kosa mbele zake,+

      Nami nitajiepusha na kosa.+

  • Zaburi 119:59
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    •  59 Nimezifikiria njia zangu,+

      Ili nipate kuirudisha miguu yangu kwenye vikumbusho vyako.+

  • Methali 1:15
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 15 mwanangu, usiende njiani pamoja nao.+ Zuia mguu wako usiende katika barabara yao.+

  • Methali 10:23
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 23 Kwa mtu mjinga kuendeleza mwenendo mpotovu ni kama mchezo,+ lakini mtu mwenye utambuzi ana hekima.+

  • Methali 16:17
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 17 Njia kuu ya wanyoofu ni kuepuka ubaya.+ Anayeilinda njia yake anaitunza nafsi yake.+

  • 1 Wakorintho 9:25
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 25 Zaidi ya hayo, kila mtu anayeshiriki katika shindano hujizuia+ katika mambo yote. Basi wao, bila shaka, hushindana ili wapate taji+ linaloharibika, lakini sisi ili tupate taji lisiloharibika.+

  • Wagalatia 5:23
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 23 upole, kujizuia.+ Hakuna sheria juu ya mambo hayo.+

  • 2 Petro 1:6
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 6 kwenye ujuzi wenu kujizuia, kwenye kujizuia+ kwenu uvumilivu, kwenye uvumilivu wenu ujitoaji-kimungu,+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki