Zaburi 18:23 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 23 Nami nitajiendesha bila kosa mbele zake,+Nami nitajiepusha na kosa.+ Zaburi 119:59 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 59 Nimezifikiria njia zangu,+Ili nipate kuirudisha miguu yangu kwenye vikumbusho vyako.+ Methali 1:15 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 15 mwanangu, usiende njiani pamoja nao.+ Zuia mguu wako usiende katika barabara yao.+ Methali 10:23 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 23 Kwa mtu mjinga kuendeleza mwenendo mpotovu ni kama mchezo,+ lakini mtu mwenye utambuzi ana hekima.+ Methali 16:17 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 17 Njia kuu ya wanyoofu ni kuepuka ubaya.+ Anayeilinda njia yake anaitunza nafsi yake.+ 1 Wakorintho 9:25 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 25 Zaidi ya hayo, kila mtu anayeshiriki katika shindano hujizuia+ katika mambo yote. Basi wao, bila shaka, hushindana ili wapate taji+ linaloharibika, lakini sisi ili tupate taji lisiloharibika.+ Wagalatia 5:23 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 23 upole, kujizuia.+ Hakuna sheria juu ya mambo hayo.+ 2 Petro 1:6 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 6 kwenye ujuzi wenu kujizuia, kwenye kujizuia+ kwenu uvumilivu, kwenye uvumilivu wenu ujitoaji-kimungu,+
23 Kwa mtu mjinga kuendeleza mwenendo mpotovu ni kama mchezo,+ lakini mtu mwenye utambuzi ana hekima.+
25 Zaidi ya hayo, kila mtu anayeshiriki katika shindano hujizuia+ katika mambo yote. Basi wao, bila shaka, hushindana ili wapate taji+ linaloharibika, lakini sisi ili tupate taji lisiloharibika.+
6 kwenye ujuzi wenu kujizuia, kwenye kujizuia+ kwenu uvumilivu, kwenye uvumilivu wenu ujitoaji-kimungu,+