Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Zaburi 119:120
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 120 Mwili wangu umetetemeka kwa sababu ya kukuhofu;+

      Nami nimeogopa kwa sababu ya maamuzi yako ya hukumu.+

  • Yeremia 23:9
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 9 Nao manabii, moyo wangu umevunjika ndani yangu. Mifupa yangu yote imeanza kutetemeka. Nimekuwa kama mtu ambaye amelewa,+ na kama mwanamume ambaye divai imemlemea, kwa sababu ya Yehova na kwa sababu ya maneno yake matakatifu.

  • Danieli 8:27
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 27 Na mimi, Danieli, nikachoka kabisa, nikawa mgonjwa kwa muda wa siku fulani.+ Kisha nikaamka na kufanya kazi ya mfalme;+ lakini nikaendelea kuonekana nimekufa ganzi kwa sababu ya lile jambo lililoonwa, wala hakuna mtu aliyelielewa.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki