16 Na, tazama! mtu fulani anayefanana na wana wa binadamu akaigusa midomo yangu,+ nami nikaanza kufungua kinywa changu na kusema+ na kumwambia yule aliyekuwa amesimama mbele yangu: “Ee bwana wangu,+ kwa sababu ya maono yale nilikuwa na misukosuko, wala sikubaki na nguvu zozote.+