Danieli 10:16 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 16 Ndipo mmoja aliyeonekana kama mwanadamu akaigusa midomo yangu,+ nami nikafungua kinywa changu na kumwambia yule aliyesimama mbele yangu: “Bwana wangu ninaogopa kwa sababu ya maono hayo, nami sina nguvu.+ Danieli Fahirisi ya Machapisho ya Watch Tower 1996-2012 10:16 dp 206, 208 Danieli Mwongozo wa Utafiti wa Mashahidi wa Yehova—Toleo la 2019 10:16 Unabii wa Danieli, kur. 206-208
16 Ndipo mmoja aliyeonekana kama mwanadamu akaigusa midomo yangu,+ nami nikafungua kinywa changu na kumwambia yule aliyesimama mbele yangu: “Bwana wangu ninaogopa kwa sababu ya maono hayo, nami sina nguvu.+