Isaya 6:7 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 7 Naye akakigusa kinywa+ changu na kusema: “Tazama! Hili limeigusa midomo yako, na kosa lako limeondoka na dhambi yako imefanyiwa upatanisho.”+ Yeremia 1:9 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 9 Basi Yehova akanyoosha mkono wake na kunigusa kinywa+ changu. Ndipo Yehova akaniambia: “Tazama, nimeyatia maneno yangu katika kinywa chako.+
7 Naye akakigusa kinywa+ changu na kusema: “Tazama! Hili limeigusa midomo yako, na kosa lako limeondoka na dhambi yako imefanyiwa upatanisho.”+
9 Basi Yehova akanyoosha mkono wake na kunigusa kinywa+ changu. Ndipo Yehova akaniambia: “Tazama, nimeyatia maneno yangu katika kinywa chako.+